IBRAH NITACHELEWA LYLICS
IBRAH NITACHELEWA LYLICS
BY JIMMY JOLLY
Aaah uuh ooh oh, ooh chinga Ah ah aaaah ah..Aaah uuh ooh oh, ah ah ah
Yeah sijui hata nifanyeje Sijui hata nifanye nini me
Maana hata siamini Hmn no ho Nilikula kiapo nikungoje Ila bado haiingi akilini
Maana nishakula ya mini yawe Eh kwa mashogazo ulichota mafumbo Ngoja ngoja inaniumiza tumbo
Masikini umeshafata mkumbo, Yaani umesepa
Umeziacha zimejaza na rundoo Na una ponda yangu fupi Nyundo
Eti unaning'ong'a, tajiri wa uvundo Ndio chanzo umeniteka, aah
Na naimani nitajijengea Nisikuwaze kwa ubaya kwa ubaya
Maana before nlitimia Leo uwe mfano wa bandama umebanduka
Labda yangu nyota imefifia wamekuteka we ah we ah
Simanzi imenielemea shilingi imepinduka
Kama usiporudi (Nitachelewaa) Oh oh (kupona Nitachelewa) Ah Nitachelewam mama (Nitachelewa) Hmm Hmm (kupona Nitachelewa) Kupona maradhi ya moyo (Nitachelewaa) Yeah (kupona Nitachelewa)
Kama sio wewe nani tena (Nitachelewaa) Oh no (kupona Nitachelewa) Nitachelewa mama
Ah ah aah, hmmm yeah Oh oh oh, yeah..Mi najaribu kujisahaulisha ila moyo unagoma, unagoma
Hasa nikikukumbuka zako methali na nahau
Japo unanionyesha dharau Moyo hautaki komaa, kukoma
Mwingine sitaki penda na usidhani ka nitakusahau Oh maana
Vita penzi lako ntapigana Nikiamini utarudi we changama
Maana siko sawa ujue, mkuki kwa nguruwe Kwa binadamu mchungu (Wanaogombana)
Siku zote ndio wananopatana Ama unapenda mi ninavolalama
Sijui nilipokosa ujue Na malengo ujue Mimi najua wewe langu fungu
Na naimani nitajijengea Nisikuwaze kwa ubaya kwa ubaya
Maana before nlitimia Leo uwe mfano wa bandama umebanduka
Labda yango nyota imefifia wamekuteka we ah we ah
Simanzi imenielemea shilingi imepinduka
Kama usiporudi (Nitachelewaa) Oh oh (kupona Nitachelewa) Ah Nitachelewam mama (Nitachelewa) Hmm Hmm (kupona Nitachelewa) Kupona maradhi ya moyo (Nitachelewaa) Yeah (kupona Nitachelewa)
Kama sio wewe nani tena (Nitachelewaa) Oh no (kupona Nitachelewa) Nitachelewa mama
No comments