ZUCHU – SUKARI LYRICS
ZUCHU – SUKARI LYRICS
WRITTEN BY JIMMY JOLLY
Eti nimemlambisha…Ananiambia chombeza
Tena nikiizidisha..Ananiamba Koleza
Nikitaka kusitisha…Aniamambia Ongeza
Japo imethibitishwa..Ila itampoteza
Ikipanda ni balaa..Ikishuka ndio Hatari
Asijepata madhara…Akaitwa sanaani
Radha yake msalaha..Shira ya kizanzibari
Nami simnyimi wala..Akitaka nampa
Sukari (Nampatia)…Sugar Sukari (Nampatia)
Sukari (Nampatia)…Sugar Sukari (Nampatia)
Sukari (Nampatia)…Sugar Sukari (Nampatia)
Sukari (Nampatia)…Sugar Sukari (Nampatia)
Na akilia njaa..Junjaa Sifanyi hajizi
Namjazia Jaa Juja na zitangawizi
Baba chanja Baba Chanja (Eeee)
Chukua vyote Chukua (Kulaa)
Vitafune ganja ganja (Eeee)
Chakua mwaya Chakua (Kulaa)
Ujibusti na karanga (Eeee)
Tuliza na kitumbua (Kulaa)
Jiadhali na majanga Wee..Usije ukaugua
Ikipanda ni balaa..Ikishuka ndio Hatari
Asijepata madhara…Akaitwa sanaani
Radha yake msalaha…Shira ya kizanzibari
Nami simnyimi wala…Akitaka nampa
Sukari (Nampatia)....Sugar Sukari (Nampatia)
Sukari (Nampatia)…Sugar Sukari (Nampatia)
Sukari (Nampatia)....Sugar Sukari (Nampatia)
Sukari (Nampatia)…Sugar Sukari (Nampatia)
Nimroge kwa nini kashanogewa…dambua dambua
Utamu wa sukarini Tamu kolea… dambua dambua
Nasema Da dambua dambua Wee dambua dambua
Alua alua dambua Wee dambua dambua
Nasema Da dambua dambua Wee dambua dambua
Inama kama unafua dambua
Kigulu nyanyua dambua
No comments